Sunday, January 27, 2013

tanzania Top 15 Mc's

Orodha ya wana Hip Hop mahiri Tanzania (The top 15 best hip hop Mc's and crews in Tanzania)

tukisema hip hop Tanzania,
tunawaongelea watu hawa.

01. Kwanza Unit
02. Mr II a.k.a Sugu
03. Hard Blasters Crew (H.B.C)
04. X-Plastaz
05. Gangwe Mobb
06. Professor Jay a.k.a daddy
07. Juma Nature a.k.a kiroboto
08. Sollo Thang Ulamaa a.k.a mtravellah
09. Dollasoul a.k.a Balozi
10. Daz Nundaz
11. East Coast team
12. Wateule
13. Afande Selle
14. Fid Q
15. Watengwa

Kama ukifanya uchunguzi kuanzia game yetu ya Bongo flavour inaanza, mziki uliokumbwa na misukosuko mingi na kupingwa a wazee kabla haujafanikiwa, utagundua kua list iliyo hapo juu ni watu waliohamasisha na, kupigania na kuhakikisha mziki wetu unasimama na kupata jina.
"Nilimshawishi baba'ko ili akuruhusu uimbe" ni moja kati ya mstari kutoka kwa Proffessor J, akiwa na maana kua, album yake ya mwanzo ya machozi,jasho na damu iligeuza fikra na taswira za wazee waliokua wakiona kua mziki ni uhuni hivyo kuanza kuamini kua ni vipaji na ni ajira pia.

kuna watu wataibuka sasa hivi na kukwambia kua wasanii mahiri tanzania ni kama Diamond, Ommy Dimpoz, na wengine wanaopenda kuimba na kusifia mapenzi tu, bila kujua na kukumbuka ni wapi mziki ulianzia na ni nani amefanya mpaka sasa game inaheshimika.

tutabishana sana lakini hawa jamaa walifanya na wanafanya mziki kweli, hata leo hii zikipigwa ngoma za zamani na za sasa, masikio yote yatahamia na kung'ang'ania za zamani kwa sababu kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
hebu angalia jinsi walivyojitoa kuhangaikia licha ya kudharauliwa na kuonekana wajinga,
hapa ni mr II katika viwanja vya mnazi mmoja



takwimu hizi ni kutokana na uchunguzi niliofanya tangu game linaanza mpaka sasa lilipofikia,
Na mpangilio ni kutokana na takwimu zangu na si vinginevyo.

Hip Hop for life!!


Saturday, January 26, 2013

they call him immortal technique...











 i call him the best rapper alive,
the illest rapper i've ever seen!!

let's us speak to our minds.
Revolutionaryyy...