He is the rap killer, that is what i call him...
Been in the game for a long time with a unique style, Rhymes and flow
made him the best of his Rivals...
You cant compare him with any Rapper of his type...
He is the Killer MotherFuckeerrr....
Check his song with Kendrick Lamar-Fragile
Wednesday, May 28, 2014
Tuesday, May 27, 2014
From bAkAbAkA in town...
Toka pande za kiwalani....
anaitwa Buru~One...
Anazidi kuweka heshima kwa mtaa ndani ya ngoma mpya aliyoifanya chini ya Maintenes...
Ipakue kwa kubonyeza kitufe hapa chini...
BuruOne ft Sammy B-Heshima kwa mtaa
Wednesday, May 21, 2014
Kutoka Shy toown tena....
Alikaa kimya muda flani, Na sasa amerudi tena na Ngoma mpya akiwapa habari Haters!
Moja ya watu waliobarikiwa na wanaoiwakilisha vyema Shy town....
Anaitwa Newe (Supa Newe), pata kumsikia mwenyewe hapa chini kwa kubonyeza kitufe hichi......

Supa nEwe-Haters
Moja ya watu waliobarikiwa na wanaoiwakilisha vyema Shy town....
Anaitwa Newe (Supa Newe), pata kumsikia mwenyewe hapa chini kwa kubonyeza kitufe hichi......

Supa nEwe-Haters
Thursday, January 23, 2014
Big.Com ft Sammy-B ~Tofauti (official video)
Ni mda mreefu umepita, na maswali mengi yalikua yakiuliza ni lini video ya "tofauti" ya kwake Big.com akiwa na Sammy B itaachiwa rasmi...!
Kutoka Shy town mpaka Dar city, na editing ikafanywa India na mnyamwezi kutoka Shy town Anayeitwa Berry (Hip-Art), hiki ndicho mlichokua mkikisubiri...
#Just for tha Hood ...!!
#Just for Revolution...!
Sunday, January 5, 2014
J Cole: I let Nas Down...
Hakuna jambo baya kama kumuangusha mtu aliyekushawishi na kukuvutia kufanya jambo fulani, ukatamani kufanya kama yeye, au katika kiwango cha juu kuzidi hata yeye, lakini bado mtu huyo akawa kama mungu mtu kwako...
Hii ni "Loyalty" inayoonyeshwa na J Cole, mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Marekani, akiwa anajilaumu na kujuta kwa kushindwa kumconvice Nas kwa kile alichokifanya...
tangu Nas anatoka na kufanya Game, Cole amekuwa akimfuatilia kwa kariibu sana na nnaweza kusema bila Nas inawezekana leo asingekuwepo J Cole katika Hip Hop.
Hii ilipokelewa kivingine na kinara wa Hip Hop Nas, kwani alisema kua, hakumuangusha j bali kitendo cha J kimemfanya ajisikie mwenye furaha, na kumuita j kua ni young King anayekuja....
Baada ya Nas kusikia jinsi J alivyojisikia vibaya kutokana na hatua ya Nas kutokubali ngoma zake, aliamua kujibu kwa ngoma iliyoitwa "Let nas down rmx"
Hii ni "Loyalty" inayoonyeshwa na J Cole, mwanamuziki wa Hip Hop kutoka Marekani, akiwa anajilaumu na kujuta kwa kushindwa kumconvice Nas kwa kile alichokifanya...
tangu Nas anatoka na kufanya Game, Cole amekuwa akimfuatilia kwa kariibu sana na nnaweza kusema bila Nas inawezekana leo asingekuwepo J Cole katika Hip Hop.
Hii ilipokelewa kivingine na kinara wa Hip Hop Nas, kwani alisema kua, hakumuangusha j bali kitendo cha J kimemfanya ajisikie mwenye furaha, na kumuita j kua ni young King anayekuja....
Baada ya Nas kusikia jinsi J alivyojisikia vibaya kutokana na hatua ya Nas kutokubali ngoma zake, aliamua kujibu kwa ngoma iliyoitwa "Let nas down rmx"
"While you was writing down my rhymes, I was just tryna show you that if you say what's in your mind, you could stand the test of time/Now I'm playing Born Sinner loud," Nas raps on the track. "You made your nigga Nas proud. So you ain't Nas let down, it's just part of the game, becoming a rap king my nigga /You ain't let Nas down."
"How that sound? Here's the crown, pass it to you like nothin'/You ain't let Nas down."
..
"Long live the idols,
may never be your rivals...
Pac was like jesus,
Nas wrote the bibble..."
Subscribe to:
Posts (Atom)