Wednesday, May 28, 2014

Call Him Tech N9ne...

He is the rap killer, that is what i call him...
Been in the game for a long time with a unique style, Rhymes and flow
made him the best of his Rivals...
You cant compare him with any Rapper of his type...

He is the Killer MotherFuckeerrr....

Check his song with Kendrick Lamar-Fragile

Tuesday, May 27, 2014

From bAkAbAkA in town...


Toka pande za kiwalani....
anaitwa Buru~One...

Anazidi kuweka heshima kwa mtaa ndani ya ngoma mpya aliyoifanya chini ya Maintenes...

Ipakue kwa kubonyeza kitufe hapa chini...

BuruOne ft Sammy B-Heshima kwa mtaa

Wednesday, May 21, 2014

Kutoka Shy toown tena....

Alikaa kimya muda flani, Na sasa amerudi tena na Ngoma mpya akiwapa habari Haters!

Moja ya watu waliobarikiwa na wanaoiwakilisha vyema Shy town....

Anaitwa Newe (Supa Newe), pata kumsikia mwenyewe hapa chini kwa kubonyeza kitufe hichi......



Supa nEwe-Haters