Orodha ya wana Hip Hop mahiri Tanzania (The top 15 best hip hop Mc's and crews in Tanzania)
tukisema hip hop Tanzania,
tunawaongelea watu hawa.
01. Kwanza Unit
02. Mr II a.k.a Sugu
03. Hard Blasters Crew (H.B.C)
04. X-Plastaz
05. Gangwe Mobb
06. Professor Jay a.k.a daddy
07. Juma Nature a.k.a kiroboto
08. Sollo Thang Ulamaa a.k.a mtravellah
09. Dollasoul a.k.a Balozi
10. Daz Nundaz
11. East Coast team
12. Wateule
13. Afande Selle
14. Fid Q
15. Watengwa
Kama ukifanya uchunguzi kuanzia game yetu ya Bongo flavour inaanza, mziki uliokumbwa na misukosuko mingi na kupingwa a wazee kabla haujafanikiwa, utagundua kua list iliyo hapo juu ni watu waliohamasisha na, kupigania na kuhakikisha mziki wetu unasimama na kupata jina.
"Nilimshawishi baba'ko ili akuruhusu uimbe" ni moja kati ya mstari kutoka kwa Proffessor J, akiwa na maana kua, album yake ya mwanzo ya machozi,jasho na damu iligeuza fikra na taswira za wazee waliokua wakiona kua mziki ni uhuni hivyo kuanza kuamini kua ni vipaji na ni ajira pia.
kuna watu wataibuka sasa hivi na kukwambia kua wasanii mahiri tanzania ni kama Diamond, Ommy Dimpoz, na wengine wanaopenda kuimba na kusifia mapenzi tu, bila kujua na kukumbuka ni wapi mziki ulianzia na ni nani amefanya mpaka sasa game inaheshimika.
tutabishana sana lakini hawa jamaa walifanya na wanafanya mziki kweli, hata leo hii zikipigwa ngoma za zamani na za sasa, masikio yote yatahamia na kung'ang'ania za zamani kwa sababu kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
hebu angalia jinsi walivyojitoa kuhangaikia licha ya kudharauliwa na kuonekana wajinga,
hapa ni mr II katika viwanja vya mnazi mmoja
takwimu hizi ni kutokana na uchunguzi niliofanya tangu game linaanza mpaka sasa lilipofikia,
Na mpangilio ni kutokana na takwimu zangu na si vinginevyo.
Hip Hop for life!!
Sunday, January 27, 2013
Saturday, January 26, 2013
Thursday, January 24, 2013
Sunday, January 6, 2013
Wednesday, December 26, 2012
Monday, December 24, 2012
Wednesday, December 12, 2012
Wednesday, November 21, 2012
Sunday, November 18, 2012
Thursday, November 8, 2012
Friday, November 2, 2012
Tuesday, October 30, 2012
Friday, October 26, 2012
Thursday, October 4, 2012
big.com: heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuw...
big.com: heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuw...: heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuwepo leo... ikiwa tutakua na uzalendo hip hop itasimama upya!! salute to these.. ST...
share with us
share with us
heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuwepo leo...
ikiwa tutakua na uzalendo hip hop itasimama upya!!
salute to these..
STYLE
|
NOTES
|
REFERENCES
| ||
| FAST RHYMING | Busta Rhymes | Treacherous 3, Soul Sonic Force |
Treacherous 3
| |
MC POPPIN / TRIPLE RHYMES STYLE/
SWING STYLE
| MC Globe, Soul Sonic Force | Globe used old swing and scat style jazz riffs, he would scat on a tape and then write rhymes to his scattin | ||
| GRUNGY DIRTY VOCAL STYLE | Dmx, Method Man, Ja Rue | J D L from the cold crush 4 mc's | This is'nt a lyrical style, but a style of vocal delivery and cadence that certain mc's have naturally. |
"Old Mc tapes from the 70's"
|
| CALM / MONO TONED VOCALS AND STYLE | Rakiem, Nas | Rahiem from Grand Master Flash and the Furious 5 mc's | ||
STYLE
|
NOTES
|
REFERENCES
| ||
KNOWLEDGE RHYMES /
POLITICAL RHYMES
| KRS ONE, Publec Enemy | Mellie Mel, Furious 5 | Mel was always dropin bombs. |
"Worls War 3"
by: Furious 5 Mc's
|
| STORY TELLING | Grand master Caz, La Sunshine | They did'nt create it, but they had two classic story rhymes that were famous back in the days, that eventually lead to a Slick Rick style |
"Fat Lady Rhyme"
by: LA Sunshine
| |
| RUTENES | Jurasic 5, Arsonist | Furious 5, Cold Crush 4, Fantastic 5, and all old school crews from the 70's | This was part of the main formatt of every MC show, rutenes, rhymes, and dance as well |
|
| GANGSTA RAP | NWA | Kool G Rap, NWA, Just Ice | These east and west coast MC's expressed there thugish ways on wax |
|
STYLE
|
NOTES
|
REFERENCES
| ||
PARTY STYLE/
CROWD PLEASER
| ![]() | Luv Bug Starski, Buzy Bee | back in the days these two mc's were the best at crowd pleasing | ![]() |
COMIC BOOK STYLE/
CRAZY WORD PLAY
| Pharoe monch | Kool kieth, Sed Gee (Ultra Magnetic mc's) | this boy Kool Kieth said some of the illest and funniest sh&t | |
| INTELECTUAL STYLE | ![]() | Kool Moe Dee, T la Rock, Special K | Kool moe Dee was the apitome of intelect. | "Kool Moe Dee" |
| SMOOTH STYLE | Big Daddy Kane, Jay Z |
Grand master Caz (Cold Crush 4 MC's),
Whiper Whip (Fantastic 5 MC's)
| Caz was the coolest on the mic. | ![]() |
TWO MAN RUTENE STYLE/
DUO'S
| RunDmc |
Salt & Pepper (the original Whip, and Data rock, NOT THE GIRLS)
Double Trouble (Lil Rodney c, KK Rockwell)
| masters of two man rutenes and trading back and forth | |
This page is based on my opinion. But becuse i have been down with HIP HOP since the 70's, i am able to pin point certain facts that most HIP HOP heads would not know. But i remain a student of this culture and will always continue learning,
| ||||
Tuesday, October 2, 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)


