Sunday, January 27, 2013

tanzania Top 15 Mc's

Orodha ya wana Hip Hop mahiri Tanzania (The top 15 best hip hop Mc's and crews in Tanzania)

tukisema hip hop Tanzania,
tunawaongelea watu hawa.

01. Kwanza Unit
02. Mr II a.k.a Sugu
03. Hard Blasters Crew (H.B.C)
04. X-Plastaz
05. Gangwe Mobb
06. Professor Jay a.k.a daddy
07. Juma Nature a.k.a kiroboto
08. Sollo Thang Ulamaa a.k.a mtravellah
09. Dollasoul a.k.a Balozi
10. Daz Nundaz
11. East Coast team
12. Wateule
13. Afande Selle
14. Fid Q
15. Watengwa

Kama ukifanya uchunguzi kuanzia game yetu ya Bongo flavour inaanza, mziki uliokumbwa na misukosuko mingi na kupingwa a wazee kabla haujafanikiwa, utagundua kua list iliyo hapo juu ni watu waliohamasisha na, kupigania na kuhakikisha mziki wetu unasimama na kupata jina.
"Nilimshawishi baba'ko ili akuruhusu uimbe" ni moja kati ya mstari kutoka kwa Proffessor J, akiwa na maana kua, album yake ya mwanzo ya machozi,jasho na damu iligeuza fikra na taswira za wazee waliokua wakiona kua mziki ni uhuni hivyo kuanza kuamini kua ni vipaji na ni ajira pia.

kuna watu wataibuka sasa hivi na kukwambia kua wasanii mahiri tanzania ni kama Diamond, Ommy Dimpoz, na wengine wanaopenda kuimba na kusifia mapenzi tu, bila kujua na kukumbuka ni wapi mziki ulianzia na ni nani amefanya mpaka sasa game inaheshimika.

tutabishana sana lakini hawa jamaa walifanya na wanafanya mziki kweli, hata leo hii zikipigwa ngoma za zamani na za sasa, masikio yote yatahamia na kung'ang'ania za zamani kwa sababu kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
hebu angalia jinsi walivyojitoa kuhangaikia licha ya kudharauliwa na kuonekana wajinga,
hapa ni mr II katika viwanja vya mnazi mmoja



takwimu hizi ni kutokana na uchunguzi niliofanya tangu game linaanza mpaka sasa lilipofikia,
Na mpangilio ni kutokana na takwimu zangu na si vinginevyo.

Hip Hop for life!!


Saturday, January 26, 2013

they call him immortal technique...











 i call him the best rapper alive,
the illest rapper i've ever seen!!

let's us speak to our minds.
Revolutionaryyy...


Wednesday, December 26, 2012

Tuesday, December 18, 2012

jamaa wanafanya hip hop battle.. mi nnawaita wakali bhana!!

Wednesday, December 12, 2012

Sunday, November 18, 2012

kwa ajili ya mtaa tu..,

hii ni preview ya fight harder...

official release inakuja.

Thursday, November 8, 2012

Sollo ThaNg...

ni vigumu sana kua na conscious mc kama huyu...


Hip Hop will Pay you Brother.












Tuesday, October 30, 2012

Thursday, October 4, 2012

big.com:  heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuw...

big.com:  heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuw...:  heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuwepo leo... ikiwa tutakua na uzalendo hip hop itasimama upya!! salute to these.. ST...

share with us
 heshima kwenu mliopigania na kuifanya hip hop kuwepo leo...
ikiwa tutakua na uzalendo hip hop itasimama upya!!

salute to these..

STYLE

USED BY

PIONEERED BY
NOTES
REFERENCES
FAST RHYMINGBusta RhymesTreacherous 3, Soul Sonic Force
Treacherous 3

MC POPPIN / TRIPLE RHYMES STYLE/
SWING STYLE
Bone ThugsMC Globe, Soul Sonic ForceGlobe used old swing and scat style jazz riffs, he would scat on a tape and then write rhymes to his scattin
GRUNGY DIRTY VOCAL STYLEDmx, Method Man, Ja RueJ D L from the cold crush 4 mc'sThis is'nt  a lyrical style, but  a  style of vocal delivery and cadence that certain mc's have naturally.
"Old Mc tapes from the 70's"
CALM /  MONO TONED VOCALS AND STYLERakiem, NasRahiem from Grand Master Flash and the Furious 5 mc'she did it first.
STYLE

USED BY

PIONEERED BY
NOTES
REFERENCES
KNOWLEDGE RHYMES /
POLITICAL RHYMES
KRS ONE, Publec EnemyMellie Mel, Furious 5Mel was always dropin bombs.
"Worls War 3"
by: Furious 5 Mc's
STORY TELLINGSlick RickGrand master Caz, La SunshineThey did'nt create it, but they had two classic story rhymes that were famous back in the days, that eventually lead to a Slick Rick style
"Fat Lady Rhyme"
by:  LA Sunshine

RUTENESJurasic 5, ArsonistFurious 5, Cold Crush 4, Fantastic 5, and all old school crews from the 70'sThis was part of the main formatt of every MC show, rutenes, rhymes, and dance as well
GANGSTA RAPNWAKool G Rap, NWA, Just IceThese east and west coast MC's expressed there thugish ways on wax

STYLE

USED BY

PIONEERED BY
NOTES
REFERENCES
PARTY STYLE/
CROWD PLEASER
Luv Bug Starski, Buzy Beeback in the days these two mc's were the best at crowd pleasing
COMIC BOOK STYLE/
CRAZY WORD PLAY
Pharoe monchKool kieth, Sed Gee (Ultra Magnetic mc's)this boy Kool Kieth said some of the illest and funniest sh&t"Ultramagnetic MC's"
INTELECTUAL STYLEKool Moe Dee, T la Rock, Special KKool moe Dee was the apitome of intelect."Kool Moe Dee"
SMOOTH STYLEBig Daddy Kane, Jay Z
Grand master Caz (Cold Crush 4 MC's),
Whiper Whip (Fantastic 5 MC's)
Caz was the coolest on the mic.
TWO MAN RUTENE STYLE/
DUO'S
RunDmc
Salt & Pepper (the original Whip, and Data rock, NOT THE GIRLS)
Double Trouble (Lil Rodney c, KK Rockwell)
masters of two man rutenes and trading back and forth
This page is based on my opinion. But becuse i have been down with HIP HOP since the 70's, i am able to pin point certain facts that most HIP HOP heads would not know.  But i remain a student of this culture and will always continue learning,


Tuesday, October 2, 2012


Paschal Wenceslaus at Big.com - 2 months ago
the Big.com born and raised in Lbg, shy~town...
 the real rider.. 
the fEarleSs... 
made by hip Hop... decorated by the hood!!

 *thE neXt big thing in Shy~town! *
 to all whose lives  are hip hop..

wake up hip hop...
go to sleep hip hop...
dreams about hip hop...

everything hip hop..
aMen.