Monday, July 29, 2013
The best speech of all the time...
Saturday, July 27, 2013
He is the Game, He do the Game.....
Hivi, ulishawahi kujiuliza album nzima ya msanii yeyote ina stanza(bars) ngapi?
wimbo mmoja unakua na stanza ngapi?
kwa hesabu za haraka haraka ni kwamba, nyimbo nyingi za hip hop(za sasa), kila ubeti unakua na stanza 16(16 bars),
na kwa hesabu za haraka haraka wimbo mmoja unakua na stanza 48 kwa anayetunga beti 3(3 verses), na 32 kwa atungaye
beti 2(2 verses).
Hapa kwa hesabu za jumla, kama album ina nyimbo 10, jamaa anakua na stanza 480 kwa anayetunga verse 3 na 320 kwa anayetunga verse 2,
kwa hyo tukiweka mlinganyo unakuta stanza zinachezea kati ya 300 na 400.
Je, umepata kuzisikiliza au kuzisoma stanza 400(400 bars) za THe GaMe??
kwa ufupi, jamaa kaimba mashairi ya album nzima ndani ya wimbo mmoja, ambapo mashairi hayo yangeandikiwa wimbo mmoja mmoja wenye stanza 32 kila mmoja ungepata nyimbo zaidi ya 12....
hii ni changamoto sana kwa watu wanaofanya Hip Hop halisi, nikimaanisha wale wenye uzalendo na uchungu na mziki na utamaduni wetu wa hip Hop.
Nimeandika habari hii kutokana na uchungu nnaoupata kutokana na jinsi RAPPERS wa sasa wanaotaka kujifanya MC's, wakiweza kutumia beat ya Hip Hop bas wanajiita nao ni wana Hip Hop mahiri na wanaotumia mda wao kutunga sana mashairi....
nakupa task rahisi sana, wewe kama mwana Hip Hop, unaweza kuimba mashairi yote hayo ndani ya wimbo mmoja bila kupumzika?
Je,unaweza kuyakumbuka mashairi hayo?
Hip hip inahitaji kuitolea muda wa kutosha ili kuifikisha sehemu inayistahili....
keep it gangster....
Keep Hip Hop alive...
Let the good music live...
Big.com
Friday, July 26, 2013
i call real Hip Hop
Cheki jinsi video ilivyosawiri mazingira halisi ya hip hop,
kila mtu ametokea location yake,
location zinazosisimua na kuvutia...
Hip Hop for life...
Friday, May 31, 2013
Legendaries wamechoshwa na unyonyaji wa Clouds....
Ni kwa kiasi kikubwa mziki wa bongo unaumiza,
na wasanii wengi wanakaa kimya wakihofia endapo tu watasema ukweli na kudai haki zao watakosa hata kile kidogo wakipatacho ingawa wananyonywa, hali ambayo imepelekea wengi wao kuishi maisha duni na ya umaskini wa hali ya juu.
P funk (majani) ameamua kusema ukweli na kuamua kujitoa na wanyonyaji hao (clouds fm) kwani wao ndio wanaoungamiza mziki wa bongo,wasanii na vipaji.
katika interview ambayo aliifanya, majani aliwapa makavu na kutoa tamko kua hatapenda kuona clouds wakipiga nyimbo zake(marufuku) zilizotengenezwa bongo record na za wasanii wote wa bongo record.
Hatua hii imenifurahisha na kunipa hamasa kua huenda muziki wetu (na hasa Hip Hop) utanusurika kutoka kwa hawa wanyonyaji, na hali itarudi kama zamani.
Hapo nyuma alianza Mr II (Sugu) alipoanzisha harakati hizo, akaungana na vinega na harakati ikapewa jina la antivirus, lengo na nia kuu ikiwa ni kuondoa unyonyaji unaofanywa na clouds fm wakiongozwa na ruge mutahaba.
Lady jaydee naye akafuatia na kuwapa makavu, lakini baadhi ya watu wakaanza kusema kua, wanatumiwa na baadhi ya watu kuweka vugu vugu la choko choko,
Je, majani naye (P funk) anatumiwa??
Tafakari na chukua hatua ili tuunusuru Muziki wetu na hasa Hip Hop.
Mabadiliko ni wewe!!!
Okoa HIP HOP!
na wasanii wengi wanakaa kimya wakihofia endapo tu watasema ukweli na kudai haki zao watakosa hata kile kidogo wakipatacho ingawa wananyonywa, hali ambayo imepelekea wengi wao kuishi maisha duni na ya umaskini wa hali ya juu.
P funk (majani) ameamua kusema ukweli na kuamua kujitoa na wanyonyaji hao (clouds fm) kwani wao ndio wanaoungamiza mziki wa bongo,wasanii na vipaji.
katika interview ambayo aliifanya, majani aliwapa makavu na kutoa tamko kua hatapenda kuona clouds wakipiga nyimbo zake(marufuku) zilizotengenezwa bongo record na za wasanii wote wa bongo record.
Hatua hii imenifurahisha na kunipa hamasa kua huenda muziki wetu (na hasa Hip Hop) utanusurika kutoka kwa hawa wanyonyaji, na hali itarudi kama zamani.
Hapo nyuma alianza Mr II (Sugu) alipoanzisha harakati hizo, akaungana na vinega na harakati ikapewa jina la antivirus, lengo na nia kuu ikiwa ni kuondoa unyonyaji unaofanywa na clouds fm wakiongozwa na ruge mutahaba.
Lady jaydee naye akafuatia na kuwapa makavu, lakini baadhi ya watu wakaanza kusema kua, wanatumiwa na baadhi ya watu kuweka vugu vugu la choko choko,
Je, majani naye (P funk) anatumiwa??
Tafakari na chukua hatua ili tuunusuru Muziki wetu na hasa Hip Hop.
Mabadiliko ni wewe!!!
Okoa HIP HOP!
Wednesday, April 24, 2013
KRS One -tribute to NAS
Muungano huu ni kutokana na pale NAS alipotoa kibao "Hip Hop is dead", akiwa anataka kuelezea mapungufu yaliyopo sasa katika Hip Hop.
KRS One naye alijibu kwa kusema "Hip Hop lives" akitaka kuelezea ni jinsi gani Hip HOP inaendelea Kuiteka dunia na uwepo wake katika Hii Sayari.
Baada ya kuonekana kama kuna bifu flani, ndipo walipoungana na kuunganisha mawazo yao na kutoka na ngoma "tribute to Nas".
Pata kuisikiliza usikie ni kipi walichokisema.
KRS One naye alijibu kwa kusema "Hip Hop lives" akitaka kuelezea ni jinsi gani Hip HOP inaendelea Kuiteka dunia na uwepo wake katika Hii Sayari.
Baada ya kuonekana kama kuna bifu flani, ndipo walipoungana na kuunganisha mawazo yao na kutoka na ngoma "tribute to Nas".
Pata kuisikiliza usikie ni kipi walichokisema.
Friday, April 19, 2013
G-san katika BET awards ... Mtanzania pekee aliyepata nafasi BET cypher
mtanzania pekee aliyetuwakilisha katika tuzo za BET akiwa pamoja na KRS-One, Nipsey hustle pamoja na Wale.
Hip Hop lives in Tanzania
Hip Hop lives in Tanzania
Tuesday, April 9, 2013
Happy BirthDate Big.com...
"Black Incredible Gangster comrade..." au wengi walivyozoea
Big.com, mwanaharakati.....
bofya linki hii upate kumjua kiundani
The Black Incredible Gangster comrade(Big.com)
Sunday, April 7, 2013
Shy town Hip Hop: the movement....
hivi ndivyo vijana wa shy town wanavyofanya katika mtaa katika show zinazofanyika bure kila mwaka....
join the revolution....
Thursday, April 4, 2013
Immortal Technique Announces Rebel Armz Album & "The Martyr 2"

Exclusive: Immortal Technique also updates "The Middle Passage" and explains delays.
Technique revealed information about his next few projects and provided an exclusive regarding a Rebel Armz album.
"I've got people playing instruments on this mothafucka," Technique said of his highly anticipated album, The Middle Passage. Technique continued by saying that he had to scrap two songs from the project recently because of issues clearing samples.
"I really wanted to go all out and have an organic sound but it's still Hip Hop. This doesn't sound like an Opera album or some crazy shit like that. We didn't go off the deep end but technically, I had to scrap two [songs]. What came out of that was also the idea that if 'The Martyr' was so successful - because we did over a million downloads for it - if 'The Martyr' was so successful, we're gonna have to have a 'Martyr 2' now. That unreleased song is gonna go on 'The Martyr 2.'"
Next, Technique shared that he has plans to release a collaborative project with Rebel Armz, a group of emcees that includes Poison Pen and Diabolic.
"I'll be able to put out The Middle Passage, 'The Martyr [2]' and me, [Poison] Pen, Diabolic and the rest of the crew have been kicking the idea around a lot about doing a Rebel Armz album and I think it's overdue. So I'm gonna say, since y'all like exclusives, that we are definitely gonna do it. This is the first time I'm saying it. The Rebel Armz album [with] Immortal Technique and the whole fuckin' squad is gonna happen. It's going down."
The Middle Passage has been delayed for several years. In 2010, Technique said he was working on the album, which was to be a "conceptual" project. By 2011, Technique explained that he hoped to release the album in the first quarter of the following year. “[It’s about] halfway done," he explained then. In that same year, Technique released "The Martyr" to critical praise and over a million downloads online. The Rebel Armz consists of various emcees including Technique, Chino XL, Swave Sevah andAkir.
Sunday, March 31, 2013
Saturday, March 30, 2013
Friday, March 29, 2013
Did you hear this?
The lyrics deal with the idea of hip-hop's death as artistically viable music, as explained below:
| “ | Everybody sounds the same, commercialize the game Reminiscin' when it wasn't all business It forgot where it started So we all gather here for the dearly departed | ” |
Nas clearly decries the idea that hip hop has gone the way of commercialization, pledging to stay true to its origins, as in the last line of verse 1, where Nas mentions MC Shan and MC Ren, by saying So nigga, who's your top ten, is it MC Shan is it MC Ren.
Nas also mentions NBA commissioner David Stern.
Wednesday, March 20, 2013
kala jeremiah ft ben pol-karibu dar
sikiliza mwenyewe..
Thursday, February 14, 2013
Sunday, January 27, 2013
tanzania Top 15 Mc's
Orodha ya wana Hip Hop mahiri Tanzania (The top 15 best hip hop Mc's and crews in Tanzania)
tukisema hip hop Tanzania,
tunawaongelea watu hawa.
01. Kwanza Unit
02. Mr II a.k.a Sugu
03. Hard Blasters Crew (H.B.C)
04. X-Plastaz
05. Gangwe Mobb
06. Professor Jay a.k.a daddy
07. Juma Nature a.k.a kiroboto
08. Sollo Thang Ulamaa a.k.a mtravellah
09. Dollasoul a.k.a Balozi
10. Daz Nundaz
11. East Coast team
12. Wateule
13. Afande Selle
14. Fid Q
15. Watengwa
Kama ukifanya uchunguzi kuanzia game yetu ya Bongo flavour inaanza, mziki uliokumbwa na misukosuko mingi na kupingwa a wazee kabla haujafanikiwa, utagundua kua list iliyo hapo juu ni watu waliohamasisha na, kupigania na kuhakikisha mziki wetu unasimama na kupata jina.
"Nilimshawishi baba'ko ili akuruhusu uimbe" ni moja kati ya mstari kutoka kwa Proffessor J, akiwa na maana kua, album yake ya mwanzo ya machozi,jasho na damu iligeuza fikra na taswira za wazee waliokua wakiona kua mziki ni uhuni hivyo kuanza kuamini kua ni vipaji na ni ajira pia.
kuna watu wataibuka sasa hivi na kukwambia kua wasanii mahiri tanzania ni kama Diamond, Ommy Dimpoz, na wengine wanaopenda kuimba na kusifia mapenzi tu, bila kujua na kukumbuka ni wapi mziki ulianzia na ni nani amefanya mpaka sasa game inaheshimika.
tutabishana sana lakini hawa jamaa walifanya na wanafanya mziki kweli, hata leo hii zikipigwa ngoma za zamani na za sasa, masikio yote yatahamia na kung'ang'ania za zamani kwa sababu kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
hebu angalia jinsi walivyojitoa kuhangaikia licha ya kudharauliwa na kuonekana wajinga,
hapa ni mr II katika viwanja vya mnazi mmoja
takwimu hizi ni kutokana na uchunguzi niliofanya tangu game linaanza mpaka sasa lilipofikia,
Na mpangilio ni kutokana na takwimu zangu na si vinginevyo.
Hip Hop for life!!
tukisema hip hop Tanzania,
tunawaongelea watu hawa.
01. Kwanza Unit
02. Mr II a.k.a Sugu
03. Hard Blasters Crew (H.B.C)
04. X-Plastaz
05. Gangwe Mobb
06. Professor Jay a.k.a daddy
07. Juma Nature a.k.a kiroboto
08. Sollo Thang Ulamaa a.k.a mtravellah
09. Dollasoul a.k.a Balozi
10. Daz Nundaz
11. East Coast team
12. Wateule
13. Afande Selle
14. Fid Q
15. Watengwa
Kama ukifanya uchunguzi kuanzia game yetu ya Bongo flavour inaanza, mziki uliokumbwa na misukosuko mingi na kupingwa a wazee kabla haujafanikiwa, utagundua kua list iliyo hapo juu ni watu waliohamasisha na, kupigania na kuhakikisha mziki wetu unasimama na kupata jina.
"Nilimshawishi baba'ko ili akuruhusu uimbe" ni moja kati ya mstari kutoka kwa Proffessor J, akiwa na maana kua, album yake ya mwanzo ya machozi,jasho na damu iligeuza fikra na taswira za wazee waliokua wakiona kua mziki ni uhuni hivyo kuanza kuamini kua ni vipaji na ni ajira pia.
kuna watu wataibuka sasa hivi na kukwambia kua wasanii mahiri tanzania ni kama Diamond, Ommy Dimpoz, na wengine wanaopenda kuimba na kusifia mapenzi tu, bila kujua na kukumbuka ni wapi mziki ulianzia na ni nani amefanya mpaka sasa game inaheshimika.
tutabishana sana lakini hawa jamaa walifanya na wanafanya mziki kweli, hata leo hii zikipigwa ngoma za zamani na za sasa, masikio yote yatahamia na kung'ang'ania za zamani kwa sababu kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
hebu angalia jinsi walivyojitoa kuhangaikia licha ya kudharauliwa na kuonekana wajinga,
hapa ni mr II katika viwanja vya mnazi mmoja
takwimu hizi ni kutokana na uchunguzi niliofanya tangu game linaanza mpaka sasa lilipofikia,
Na mpangilio ni kutokana na takwimu zangu na si vinginevyo.
Hip Hop for life!!
Saturday, January 26, 2013
Thursday, January 24, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)

